Makapuku Forum

Makapuku Forum

Steve Jobs alishawahi kuulizwa kwanini haruhusu watoto wake watumie iPad, akasema iPad ni kifaa hatari sana na ni rahisi kumfanya mtu awe addicted nacho hata ikampelekea kushindwa kufanya mambo mengine muhimu.
Screenshot_20181108-144650.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usicheke shunie,,naona naona tu mara kipotabo,mara kibonge mwepesi,mara nkamfatilia nam nkamjua,, dingimtoto anakolozea tu...

Eeeh mnaongelea nn kwan?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya jf yanafurahisha sana baba wawili tulikuwa tunamuongelea mbebez wake wa zamani wa jf dingimtoto
 
Uranus na Neptune ndiyo sayari pekee kwenye mfumo wetu wa Jua ambazo kunanyesha mvua ya dhahabu, yaani kama ilivyo mvua ya maji hapa Duniani basi kwenye sayari hizo mvua ya dhahabu huwa inanyesha kutokana na kiasi kikubwa cha carbon.
Screenshot_20181108-144918.jpeg
 
Back
Top Bottom