Makapuku Forum

Makapuku Forum

Steve Jobs alishawahi kuulizwa kwanini haruhusu watoto wake watumie iPad, akasema iPad ni kifaa hatari sana na ni rahisi kumfanya mtu awe addicted nacho hata ikampelekea kushindwa kufanya mambo mengine muhimu.
Screenshot_20181108-144650.jpeg
 
Uranus na Neptune ndiyo sayari pekee kwenye mfumo wetu wa Jua ambazo kunanyesha mvua ya dhahabu, yaani kama ilivyo mvua ya maji hapa Duniani basi kwenye sayari hizo mvua ya dhahabu huwa inanyesha kutokana na kiasi kikubwa cha carbon.
Screenshot_20181108-144918.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom