Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uranus na Neptune ndiyo sayari pekee kwenye mfumo wetu wa Jua ambazo kunanyesha mvua ya dhahabu, yaani kama ilivyo mvua ya maji hapa Duniani basi kwenye sayari hizo mvua ya dhahabu huwa inanyesha kutokana na kiasi kikubwa cha carbon. View attachment 926113
Mungu baba tenda muujiza wa mvua hii duniani,Amiin nalia km rc wa Daslam kwa uchungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom