Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
KaribuuuuNpo hapa kijiweni
KaribuuuuNpo hapa kijiweni
Hahaha,,mie hii kesi nzito naitua kwakweli mtaniita nije nipige mchanga.
Habari ya uzima lkn,? Maana mmepotea mpk Shunie kapata shaka
Malii yako anko...h ha ahahaha, sikukublock mimi mlaumu sana yule dada wa kiTanga ndo nilimpa namba yako, kumbe ni mtaalamu wa IT, nenda kamuombe msamaha au mlipe hela maana anasema ulikula hadi kukomba afu ukaondoka utasema yeye ni mali ya umma
Simu yako unayo wewe kweliii ?...anko wangu kupotea ni kawaida, dada yake ambaye bahati mbaya sana ni mama yangu huwa anamuita Bwana Nyumbanyingi, king Mswati sasa anapotelea kwenye nyumba zake, usidanganyike
![]()
![]()
alafu mzee wa makamo si ndo yule alouliwa mbeya kwa kuomba Amber ruty
![]()
![]()
....lazima akutose maana ulimletea jezi used, hakujua tu kuwa uliitoa kwa Adeliphina baada ya kuwa imembana
Ss nakabidhi Jukwaa mwenye zamu yake ashike ss
Simu yako unayo wewe kweliii ?
Yule shangaa naona hazipendagiiiii ...rafik yake alinipigiaa sijui umemfanya nini?,,,...hapana, ninaichaji hapa kwenye bar ya yule demu wako kibonge unayesemaga havaagi shanga, nasubiria mpira wa Manyu na Juve. anakusalimia
Tatizo aliomba nyara ya Taifa,hiyo ni adhabu kwa kila muombaji....yule aliyemuua huyo mzee ataenda motoni, mzee kajiombea mambo afurahie then anauliwa, mwanamke ana dhambi sana, msimuige tafadhari
Sijambo anko wangu shikamoo jamaniMpwa wangu hujambo mama...
Kwahiyo jana ulilinda eeenhMadam,,ni kula na kuliwa.
Leo zam yangu kulinda jukwaa mniletee dawa za mbu na zakukata usingizi![]()