Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lakin kama umemfunguliaa kufuriiii jiandaeee kisaikolojiaa nake binamu wangu yeye ni kama daladala kila kituo anasimaa kupakia na kupakuaa

Sijuii utakuwa kondaa make hichaaaa yake ishajaaa
 
Lakin kama umemfunguliaa kufuriiii jiandaeee kisaikolojiaa nake binamu wangu yeye ni kama daladala kila kituo anasimaa kupakia na kupakuaa

Sijuii utakuwa kondaa make hichaaaa yake ishajaaa
Kufuli limefungwa na funguo zimepotea,
Kila kituo kupakia na kupakua ni hatari kwa afya Ankoo, sema na kijana
 
Hii vita yangu na huyu sijuii tunaimalizajee mpaka nashangaa huyu ni anko binamu kwelii au ndo wale anko wa watoto wa nursery make nina wasiwasi wangu na dadangu


...hawa wanaotaka kutuharibia undugu wetu watashindwa wallah, ha ahahah eti anko wa watoto wa nursery jinga sana wewe anko wangu. naenda kumwambia mama yangu kuwa una mashaka kuwa mimi sio mtoto wake
 
  • Thanks
Reactions: Lee
kumbe hii kesi nzito namna hii,?
Majibu:hatujatekana,namba hajaomba tena na wala hajatumiwa,,! (Kufuli sina hakika)


...mmmh, au haua namba? Kama unayo kweli hebu nitumie niamini. Nitumie kisirisiri anko wangu asijekutake advantage,
 
...wamekusikia wote mzee wa fitna
Anko binamuu nakusalimia sana simu yangu alikuwa nayo bonge sasa sijajuaa kwa nini aliandikaa hay

Mimi na wewe nani wa kutufitishinishaa tofaut na mama mchungaji?
 
Yeeeeleeeewiiii yechuuu na mariaaaa...kufuriiii make ndo muhimu kulikooo yaan hapo binamu anko wangu mnafikiii wangu mbaya wangu anajitapaa ndo maana kaniblock Obe asantee

...h ha ahahaha, sikukublock mimi mlaumu sana yule dada wa kiTanga ndo nilimpa namba yako, kumbe ni mtaalamu wa IT, nenda kamuombe msamaha au mlipe hela maana anasema ulikula hadi kukomba afu ukaondoka utasema yeye ni mali ya umma
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom