dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Wewe ni dokta au mganga Wa kienyeji ?...chumvi nyingi kuiko mihogo na nyanya zisizopikwa ni chanzo cha kuwa na kikwapa kinachotoa jasho.
Asante kwa ukaribisho
Wewe ni dokta au mganga Wa kienyeji ?...chumvi nyingi kuiko mihogo na nyanya zisizopikwa ni chanzo cha kuwa na kikwapa kinachotoa jasho.
Asante kwa ukaribisho
Wewe ni dokta au mganga Wa kienyeji ?
Basi hapo kwenye jasho umechemka tambua tuna tofautiana miili yetu...ha hahahhahaha, mimi sio dokta au mganga wa kienyeji bali mimi ni mlaji mzoefu
Na kwako pia kapukuUsiku mwema na Jumatano njema wadau
Uliuchochea si mchezoHauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii motoooooooooooohauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
moto na uwakeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
uwakeeeeeeeee motoooooo
hauzimiiiiiiiiiiiiii
View attachment 923077
Kwa nini unasumbua watu wanaokulana shangazi?Una adabu kweli??!

Wote ndani....vipi na wale wanaotafunana wanaruhusiwa kuja?

Marahaba..! Mrs mwifwaShikamooni woteeee
Michi uuMarahaba..! Mrs mwifwa
U missed dear
Marahaba,mpendwa mzima.?Shikamooni woteeee
