Huyo Transcend alikucheka niliposema eti ndo maana unahongwa 650 ya daladala... hajui mi nilikuwa nakutania tu binamu! Afu baadae, eti anajifanya wewe ni shemeji yake, anakuheshimu! Afu sijui shemeji yake kwa naniUshahidi wa nn jamani
Huyo Transcend alikucheka niliposema eti ndo maana unahongwa 650 ya daladala... hajui mi nilikuwa nakutania tu binamu! Afu baadae, eti anajifanya wewe ni shemeji yake, anakuheshimu! Afu sijui shemeji yake kwa naniUshahidi wa nn jamani
Basi ukiskia mtu anasema anatafuta 6 paksi, anamaanisha condoms pakti 6, jumla pisi 18... kwahiyo ni wa kumuogopa huyo kama konki konki master oil chafu inayotema hata kama imewekwa punde!Kweli jamani sizijui hivi zipoje kwani kaka chige
Khaaa
Kama ndoa itanishinda tunafanya mashindano au si kukomoana hiyo hivi wanaume huwa hamchoki eenh

Huyo Transcend alikucheka niliposema eti ndo maana unahongwa 650 ya daladala... hajui mi nilikuwa nakutania tu binamu! Afu baadae, eti anajifanya wewe ni shemeji yake, anakuheshimu! Afu sijui shemeji yake kwa nani

Basi dada mi nikikuangalia hapo, huwa najikuta najisemea "wallah tena, bianmu huyu... we mwache tu!"Umeona avatar hiyo nisipotengeneza kitu inapenda nabaki na nywele zangu natural sitaki shida mbona sijakuona kama ulikuja jamani
Marhaba mdogo wangu,,haujambo??umeamka salama kabsaShkamoo,,
Tunaanza rasmi
Hahaha mambo ya picha mambo ya vijana hayo..Ebu weka picha baba wawili jamani
Basi dada mi nikikuangalia hapo, huwa najikuta najisemea "wallah tena, bianmu huyu... we mwache tu!"
Marahaba kaka mndali..Shikamooo
Asante shemela.Uwe na kazi njema
MkuuHuyo Transcend alikucheka niliposema eti ndo maana unahongwa 650 ya daladala... hajui mi nilikuwa nakutania tu binamu! Afu baadae, eti anajifanya wewe ni shemeji yake, anakuheshimu! Afu sijui shemeji yake kwa nani
.Binamu Shunie, eti umecheza mchezo wa kibaba na kimama na huyu jamaa aliyekuwa anakucheka eti kwa sababu nilisema unahongwa sh. 650?Mkuu
Wewe ni mgeni hapa jukwaani, wengine hapa tumecheza nao michezo ya kibabaa na kimamaa.
Just be informed.
Huku kwetu Malawi kwema kabisa sijui wajenzi wa viwanda mnaendeleaje na ujenziMarahaba kaka mndali..
Kwema huko barani kwenu?
Tuko tunapambana mkuu..Huku kwetu Malawi kwema kabisa sijui wajenzi wa viwanda mnaendeleaje na ujenzi
Aisee,,bc mie tena ntaonekana ndo mdogo humuMarhaba mdogo wangu,,haujambo??umeamka salama kabsa
,,Usiwe na hofu mdogo wangu,,hata ww utakuwa mkubwa tu kaka ss kaka zako....Aisee,,bc mie tena ntaonekana ndo mdogo humu![]()
,,
Sijambo kaka nimeamka salama na nimeshinda salama pia,,vp ww na Familia.?
Hahahah huyo shemeji yangu wa damu kabisaHuyo Transcend alikucheka niliposema eti ndo maana unahongwa 650 ya daladala... hajui mi nilikuwa nakutania tu binamu! Afu baadae, eti anajifanya wewe ni shemeji yake, anakuheshimu! Afu sijui shemeji yake kwa nani
KhaaaaaBasi ukiskia mtu anasema anatafuta 6 paksi, anamaanisha condoms pakti 6, jumla pisi 18... kwahiyo ni wa kumuogopa huyo kama konki konki master oil chafu inayotema hata kama imewekwa punde!
Ebu shangaa mm siwezi hayo mambo kukulwa kila mda
Halafu inakuwaje kaka chigeBasi dada mi nikikuangalia hapo, huwa najikuta najisemea "wallah tena, bianmu huyu... we mwache tu!"