Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tumosa
20181101_150551.jpeg
 
Hana cha kutekwa wala nini... we unafikiri Peruvian Hair mchezo!! Hoyaa Wick, laki 4 ushatoa au nitoe mwenyewe na tusitishe kabisa mkataba wenu?! Mwenzako kaamua eti aanze kutafuta sixi paksi utadhani hizo sixi paksi zinaliwa! Jomba Malcom Lumumba, 6 pcs worked better during JK era cuz' dadaz got lots of money making options lakini kwa huyu Msukuma, hizo 6 pcs peleka Colosseum zikasaidie kulinda akina Mo wetu!
hebu kunywa maji kwanza!!...😀
 
Lakini mimi na wewe hatufanyiani roho mbaya bhana labda yule jamaa aliyeadimika mtaa huu kwa sababu yupo busy kujadili mambo ya pembe za ndovu!

Yaani mtu aache kupiga sounds na totoz kama akina Tumosa, akaushe kende kwa ajili ya kujadili pembe za ndovu! We Malcom Lumumba, pembe za ndovu zina wenyewe hizoo...
bunduki zimewakosa majangiri lakini zisije pangiwa kazi maalum!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom