eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Kwema sanaKwema mkuu
Kwema sanaKwema mkuu
Ulifanya kazi nzuri sana shikamoo shangazi yangu mie!!Sasa shangazi mm shikamoo sitaki jamani



Mambo![]()
Shunie atawajibika ktk ulipaji
![]()
Hata km ni flat screen km wazungu..Tatizo hana chura!![]()
Hongera sanaNipo tu mkuu nachuma uzee
Hvi T unanitatufia kesi mm
Kesi gani tena?Hvi T unanitatufia kesi mm
Hana cha kutekwa wala nini... we unafikiri Peruvian Hair mchezo!! Hoyaa Wick, laki 4 ushatoa au nitoe mwenyewe na tusitishe kabisa mkataba wenu?! Mwenzako kaamua eti aanze kutafuta sixi paksi utadhani hizo sixi paksi zinaliwa! Jomba Malcom Lumumba, 6 pcs worked better during JK era cuz' dadaz got lots of money making options lakini kwa huyu Msukuma, hizo 6 pcs peleka Colosseum zikasaidie kulinda akina Mo wetu!

hebu kunywa maji kwanza!!...😀Lakini mimi na wewe hatufanyiani roho mbaya bhana labda yule jamaa aliyeadimika mtaa huu kwa sababu yupo busy kujadili mambo ya pembe za ndovu!
Yaani mtu aache kupiga sounds na totoz kama akina Tumosa, akaushe kende kwa ajili ya kujadili pembe za ndovu! We Malcom Lumumba, pembe za ndovu zina wenyewe hizoo...

bunduki zimewakosa majangiri lakini zisije pangiwa kazi maalum!.Pouwa,,hujambo, ?Mambo

Kwa hisani ya umoja wa kinamama tafadhaliUshindweeeee nahusikaje kwenye mambo yenu niwajibike mm
umoja ni nguvu

Hakuna namnawewe mary acha hzo

Hahahhaha yaani we mm kabisa haya majina ya mary sijui huwa yanakuwa na nn halafu hawanenepagi hawa
tuna gubu sn mama tunaanzaje kunenepa ss kwa mfano
ntalibadili km Diva
huenda nikapata vinyama