Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20181101-173543.jpeg
 
Siku hizi kuna kamati za roho mbaya!!.. Hatuendi kwa wajomba kulalamika!.
Lakini mimi na wewe hatufanyiani roho mbaya bhana labda yule jamaa aliyeadimika mtaa huu kwa sababu yupo busy kujadili mambo ya pembe za ndovu!

Yaani mtu aache kupiga sounds na totoz kama akina Tumosa, akaushe kende kwa ajili ya kujadili pembe za ndovu! We Malcom Lumumba, pembe za ndovu zina wenyewe hizoo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom