Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Doh,!bc sawa.Achana na hujambo..
Nasikia una chura mkuu?

Basi pouwa mkuuDoh,!bc sawa.
Chura hakuna mkuu![]()
Barikiwa,iwe njema kwako pia.Wikend Njema wadau
Wala hakuna jipya,lbd baada ya weekend thn tuone yalojiri....asante, nawe pia. Kuna Jipya!

Wala hakuna jipya,lbd baada ya weekend thn tuone yalojiri.![]()
....ha hahahah, mambo ya wikend yanaishia wikend ukiyaleta j3 unakuwa unatafuta ugomvi. kwa mfano, anko wangu Lyon Lee (unamjua?) yeye wikend hakuna siku anayobaki salama. Akija muulize mgombane
inategemea na hiyo wikiendi umeendaje km kulikua na mizinga,mafumanizi nk.lzm yaje huku tupeane pole.![]()
haya nakuachia anko wako mie nalala,mpe salam na wala yasimbane hayo mambo
Hi...usiku mwema nawikend njema. Leo mimi nalinda hapa ila kwa sasa hivi nakula monde na kuangalia shoo hapa Kontena pub
binamuHi![]()
![]()
binamu
Ndio mida ya wanga hii binamu...upo poa mama JJ! naona umeibuka mida ya popo