marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Mama wawili hajambo kabsa,,ln unakuja kumsalimia huku??Nzuri baba wawili jamani za kwako uko mama wawili nae anaendeleaje
Hiyo salamu haijatoka bure bure,,,ina malipo yake hyo
Shunie atawajibika ktk ulipaji 
Shangazi lazima asalimiwe shikamoo!!He he na shikamoo tena jamani
Nimeipokea mimi kwa niaba yake na wengineo (umoja wa wanawake utahusika ktk ulipaji)kwan hyo marhaba kapokea shunie???

Nimeipokea mimi kwa niaba yake na wengineo (umoja wa wanawake utahusika ktk ulipaji)![]()





wewe mary acha hzo
Kheeee malipo tena yapi hayo kaka ninge
Hiyo salamu haijatoka bure bure,,,ina malipo yake hyo
Hahahhaha yaani we mm kabisa haya majina ya mary sijui huwa yanakuwa na nn halafu hawanenepagi hawangumu kumeza,shida kutema pia.
Kuja kumsalimia tena mm watu was kudownload sitakiiii kabisa kaka ningeMama wawili hajambo kabsa,,ln unakuja kumsalimia huku??
Weekend vp huko
![]()
Shunie atawajibika ktk ulipaji
![]()
Ushindweeeee nahusikaje kwenye mambo yenu niwajibike mmkwan hyo marhaba kapokea shunie???
Sasa shangazi mm shikamoo sitaki jamaniShangazi lazima asalimiwe shikamoo!!
Nimeipokea mimi kwa niaba yake na wengineo (umoja wa wanawake utahusika ktk ulipaji)![]()




mfyuuuuu zako
Hatujambo sisi sijui wwNawasalimu wote mlioko ndani ya jukwaa hili pendwa
Kwema mkuuNawasalimu wote mlioko ndani ya jukwaa hili pendwa
Kuja kumsalimia tena mm watu was kudownload sitakiiii kabisa kaka ninge






Wewe tulia shunie,,,nilimsalimia kwa kumtenga tu na yy kajaa,,,malipo lazmaKheeee malipo tena yapi hayo kaka ninge
Niko poa shunie namshukuru MunguHatujambo sisi sijui ww