Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uzuri anajua kabisa sitoi za show off!.. Na akileta jeuri anamkuta shoga ake chumbani!..Huyo bila ubabe utanikuta naosha vyombo siku moja!..
Dah! Huu ndo muda muafaka wa kupiga fitina!

We dada Shunie, kumbe sometimes unamletea za kisista duh huyu jamaa?! Kama ndivyo, mkuu wangu Wick nakuunga mkono kwa 1000% na hata hizo za kwa Mmasai mpotezee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom