Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pendezesha makalio yako kwa kufanya haya

Makalio yetu ndiyo yanayotoa shepu fulani kwa mwanamke katika vivazi na ukiyaachia ovyo yanaweza kukuletea mushkeli na kama ukiyatengeneza hata yale makalio yanayosifiwa sana.
Wanawake wengi kwa sasa wanapenda kurekebisha makalio yao ili kuyapatia ukubwa unaostahili kwa jinsi wao wanavyopenda.
Eeeenh
 
Sketi fupi zipo kwenye fasheni miaka nenda rudi japo watu wengine wamekuwa wakivaa nguo hizo zikiwa fupi sana na kuleta mtafaruku hata pale wanapokuwa wanapita barabarani.

Muhimu kuhakikisha kuwa unapochagua nguo ya kuvaa angalia kama inaendana na mazingira na utamaduni wa Mtanzania na je nguo yake umevaa mahali gani na kama unaona ni kero unapofanya hivyo basi unashauriwa kuacha kufanya hivyo.
Wengi wanavaa sketi fupi na viatu virefu huku wakitembea umbali mrefu hali inayosababisha kupoteza maana na heshima pia.
Mm napenda nguo fupi jamani toka nipo kijana mpaka sasa na uzee wangu
 
Vaa nguo kulingana na mazingira, kama una gari ni sawa lakini kama unajua unakwenda kutumia usafiri wa daladala huku ukiwa umevaa sketi fupi itakayokufanya ushindwe kukaa vizuri na hata kuinama hiyo si sawa sawa
Unavaaje nguo fupi umepanda daladala kuna uber kuna taxfy mabajaj yote haya hata kama hauna gari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom