Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,047
Shikamoo ningeet vituko,,,kumbe ww ndio mwalimu wa dada angu
Shikamoo ningeet vituko,,,kumbe ww ndio mwalimu wa dada angu
Binamu nikule tu yaani we nikule haya naomba laki 4 ya peruvianBinamu kuomba mwisho chipsi mayai lakini akifikia kuomba hadi Peruvian Hair, hamna namna, huyo ni wa kumla tu... tena sio kwa part time bali full time kabisa ili mradi shangazi asijue!
Nakupa ww binamu tuSio kumnyima mtu dhambi wewe, sema kumnyima binamu mwiko, ebo! Yaani unataka kumpa kila atakayeomba, au?
Sawa binamu chige nimekuelewa jamaniWe ushamba sijui utakutoka lini... ndo maana unahongwa nywele za Kimasai! Unaponiomba Peruvian Hair unatakiwa kuniita binamu na unapotaka chips mayai ndo unaita kaka! Basi usikonde binamu, naja kwenu next week!
Sema kweliAisee nilitegemea humu kupwaya leo.
Niwatakie mapumziko mema
EeeenhPendezesha makalio yako kwa kufanya haya
Makalio yetu ndiyo yanayotoa shepu fulani kwa mwanamke katika vivazi na ukiyaachia ovyo yanaweza kukuletea mushkeli na kama ukiyatengeneza hata yale makalio yanayosifiwa sana.
Wanawake wengi kwa sasa wanapenda kurekebisha makalio yao ili kuyapatia ukubwa unaostahili kwa jinsi wao wanavyopenda.
ShunieNakupa ww binamu tu
Mm napenda nguo fupi jamani toka nipo kijana mpaka sasa na uzee wanguSketi fupi zipo kwenye fasheni miaka nenda rudi japo watu wengine wamekuwa wakivaa nguo hizo zikiwa fupi sana na kuleta mtafaruku hata pale wanapokuwa wanapita barabarani.
Muhimu kuhakikisha kuwa unapochagua nguo ya kuvaa angalia kama inaendana na mazingira na utamaduni wa Mtanzania na je nguo yake umevaa mahali gani na kama unaona ni kero unapofanya hivyo basi unashauriwa kuacha kufanya hivyo.
Wengi wanavaa sketi fupi na viatu virefu huku wakitembea umbali mrefu hali inayosababisha kupoteza maana na heshima pia.
Unavaaje nguo fupi umepanda daladala kuna uber kuna taxfy mabajaj yote haya hata kama hauna gariVaa nguo kulingana na mazingira, kama una gari ni sawa lakini kama unajua unakwenda kutumia usafiri wa daladala huku ukiwa umevaa sketi fupi itakayokufanya ushindwe kukaa vizuri na hata kuinama hiyo si sawa sawa
NdiwooooHahahaa..
Kukulwa..
Hivi mbona haujaniletea mrejesho![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
unafichua siri jamani
Mm napenda nguo fupi jamani toka nipo kijana mpaka sasa na uzee wangu
Uzuri anajua kabisa sitoi za show off!.. Na akileta jeuri anamkuta shoga ake chumbani!..Huyo bila ubabe utanikuta naosha vyombo siku moja!..



















Nataka nianze jamani@shunie njoo ujifunze na ukibonge wako![]()
![]()
Unavaaje nguo fupi umepanda daladala kuna uber kuna taxfy mabajaj yote haya hata kama hauna gari
Anko shikamooCuz whaaat up,
Where u bin ???
KheeeShikamoo mkuu