MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,456
- 69,361
Where you bin, haven't seen you recently.Mzima wa afya mzee wangu!
Where you bin, haven't seen you recently.Mzima wa afya mzee wangu!
Kwa upande wangu naona JF inaboa Sikh hizi! Hakuna mada za kuchangia wala stories za kuchangamsha. Hata we sikuoni kwenye mada kule.Where you bin, haven't seen you recently.
Kagera sijaenda muda kidogo, nashinda sana Mbeya, Dar es salaam na Mtwara. Lakini hope ntawapeleka mabwana wadogo kusalimia wakisharudi, ndiyo ntajua mikakati inakaaje.Kwa upande wangu naona JF inaboa Sikh hizi! Hakuna mada za kuchangia wala stories za kuchangamsha. Hata we sikuoni kwenye mada kule.
Vipi lakini kilimo huko
Mh anko jamani wakuchemshie maji ya moto basi wawe wanakukandaMpwa nipo nachuma uzee kila siku, eti leo nimeamka miguu imegoma kutembea kabisa. Ikabidi nitafute fimbo ya kutembelea tu...
Ana tabia za kike sanaBeef mpole jamani ,mie nisingekubali udhalilishaji ule.
Nimeshapata shemeji yangu ww vipiNimefurahi sikia hivyo shemeji
Umeshapata kifungua kinywa shemeji
Jamani mtwara nikisikia nakumbuka korosho zangu kwa binamu obeKagera sijaenda muda kidogo, nashinda sana Mbeya, Dar es salaam na Mtwara. Lakini hope ntawapeleka mabwana wadogo kusalimia wakisharudi, ndiyo ntajua mikakati inakaaje.
Mimi Tayari muda sana, hofu yangu ilikuwa kwako tu shemejiNimeshapata shemeji yangu ww vipi
Aisee mkuu ukiwa Dar nipitie nami twende wote kagera au mtwara.Kagera sijaenda muda kidogo, nashinda sana Mbeya, Dar es salaam na Mtwara. Lakini hope ntawapeleka mabwana wadogo kusalimia wakisharudi, ndiyo ntajua mikakati inakaaje.
Asante shemeji yanguMimi Tayari muda sana, hofu yangu ilikuwa kwako tu shemeji
Hahahahaha,Mh anko jamani wakuchemshie maji ya moto basi wawe wanakukanda