Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20181029-094145.jpeg
Screenshot_20181029-094203.jpeg
 
Kwa upande wangu naona JF inaboa Sikh hizi! Hakuna mada za kuchangia wala stories za kuchangamsha. Hata we sikuoni kwenye mada kule.

Vipi lakini kilimo huko
Kagera sijaenda muda kidogo, nashinda sana Mbeya, Dar es salaam na Mtwara. Lakini hope ntawapeleka mabwana wadogo kusalimia wakisharudi, ndiyo ntajua mikakati inakaaje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom