Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wengi wanashindwa kuvaa nguo za wazi kutokana na muonekano wa ngozi zao za mgongoni kuwa mbaya zenye vipele, chunusi na kupauka.Madoa kwenye mgongo yamekuwa yakikosesha wengi raha kutokana na suala la utunzaji mgongo halitiliwi maanani kama ilivyo kwenye utunzaji wa uso au miguu.


Tumia brashi laini lenye sababu ya kutosha katika kusugua mgongo wako. Kisha paka mafuta.
Kumbe hii avatar niliyoweka ya watu ana mgongo mzuri eenh
 
FB_IMG_1540792134970.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom