ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,947
- 13,864
Hahahahahah aisee haya anko binamu...kutafuta na kupata mbona rahisi tu humu, aanzishe uzi, aweke picha yake ya mwanamuziki mwenye six pack afu ajiseme yeye ana gari na anakaa Mbeya. Afu aseme tu alishafika Dar (kama hakai Daslamu).
Mimi kumtafutia siwezi maana na sina sababu ya kutoweza.
Vipi ombi langu la email umeliona? Au huna email unatumia ya anko Lyon Lee
Mmmmh baada ya namba umehamia kwenye email tena ila uzuri jibu unalo mwenyewe