Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
...nimekupata hapa lakini sasa nayo isiwe too much, mtu anakula mbogamboga hata ukipishana naye ustasema umepisha na bustani ya mchicha au spinach
 
Binadamu tumetofautiana,wapo ambao bila keki mezani breakfast haijakamilika hapo.
...kwani keki unakula kila siku? Sometimes you need to spoil yourself a little bit. Unaweza ukaamua kula sneaker bars zenye maziwa na fursana za kutosha
 
..akili za anko wangu hizo, kabla hajafukuzwa kule kwenye mtaa wa mkuu wa mkoa kwa kumpachika mimba mtoto wa shule, mtaani aliitwa TBS.

Ulikuwa hujui hii skendo?
Jezos....[emoji33][emoji33]imebidi nishangae kwa kinigeria nilikuwa sijui anko binamu
 
.....kosa lilikuwa kubwa sana, Tumosa alimuambia anko aache kurambaramba maana anawakosesha raha mabinti anko akajitetea yeye harambirambi anakula kabisa tena. Ndo hivyo ikabidi awekwe kwenye list ya wabaya wetu
Aiseee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nitayaskia mengi safar hii
 
Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] moto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiii [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom