Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kumbee umempaa emojii ya machoziii...wacha apambane na hali yakee
Hahahahaha ngoja nikuonyeshe vizuri niliyompa naiweka hapahapa kwako labda ndo utaiona[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Kupata nataka upate ila asikutafutie yeye mwambie binamu obe labda ndo akutaftie

...kutafuta na kupata mbona rahisi tu humu, aanzishe uzi, aweke picha yake ya mwanamuziki mwenye six pack afu ajiseme yeye ana gari na anakaa Mbeya. Afu aseme tu alishafika Dar (kama hakai Daslamu).

Mimi kumtafutia siwezi maana na sina sababu ya kutoweza.

Vipi ombi langu la email umeliona? Au huna email unatumia ya anko Lyon Lee
 
Back
Top Bottom