Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,324
- 35,833
Asikuchoshe huyo binamu
...wewe si ulirushwa darasa ndo maana huna cheti cha darasa la nne
Asikuchoshe huyo binamu
...ujue hii inawezekana ikawa na sababu nyingi sana, tafadhari unapopita watu jaribu japo kusalimia au kutabasamu na uendelee na mambo yako maana unaweza ukaanguka mbele yao na wakasema jamaa ametupita hapa kama hatuoni vile wacha nasi tufumbe macho
...wewe si ulirushwa darasa ndo maana huna cheti cha darasa la nne
Sio nilirushwa binamu sijasoma darasa hata moja
Halafu binamu mbona ww hufanyi bday ya kuingia jf umepita miaka 10
Nawaona wenzako wanaanzisha thread uko wakitimiza miaka 10 au 8
Swadakta Mkuu, mambo ya mchaka mchaka hayo,vijana nimewakumbusha kdgUmenikumbusha 1990 mwalimu mwanjisi alikuwa ndio ametoka JKT alitukimbiza mzee.mchakamchaka daa
Tufungweee tutulieeeKocha wa timu ya Tanzania maarufu kama Taifa Stars, Emmanuel Amunike bado hajakata tamaa, na anawataka Watanzania kuendelea kuwa na imani kuwa timu yao ina nafasi ya kuelekea Cameroon.
Amunike, ambaye ni nyota wa zamani wa Nigeria ameliambia gazeti la The Citizen la Tanzania kuwa; "nafasi bado ipo, kundi letu bado lipo wazi, tunaweza kufanikiwa."
Muelekeo wa safari ya Tanzania utajulikana kesho Jumanne watakaporudiana na Cape Verde, ni lazima washinde ili matumaini yao yawe hai. Kama hiyo haitoshi, itawapasa washinde walau mchezo mmoja na kutoka sare mwengine watakapochuana na Uganda na Lesotho.
Uganda maarufu kama Cranes wanaongoza Kundi L wakiwa na pointi 7 baada ya kushinda michezo miwili na kutoka sare mchezo mmoja. Cranes watahitaji alama 4 tu katika michezo mitatu iliyosalia ili wajihakikishie kufuzu.
Kwa upande wa Kenya, wanaongoza kundi F wakiwa na pointi 7 baada ya kucheza michezo minne na kushinda miwili, kupoteza mmoja na kutoka sare mmoja.
Katika michezo miwili iliyosalia ambapo watacheza na Ghana jijini Accra, na Sierra Leone, Nairobi Harambee Stars wanahitaji kushinda mchezo mmoja na sare moja ili kufuzu.
Ethiopia ambayo pia inatoka ukanda wa Cecafa inashika nafasi ya pili katika kundi hilo wakiwa na alama 4 itakuwa na kibarua kizito kugombea nafasi ya kufuzu na Ghana wenye alama 3 na Sierra Leone wenye alama 2. Yeyote kati ya timu hizo tatu anaweza kuungana na kinara Kenya kufuzu.