Makapuku Forum

Makapuku Forum

Aina ya pili ni kucha yenye mstari mweusi katikati, kucha aina hii huashiria ugonjwa wa kansa ujulikanao kama Melanoma, hii ni kansa ya ngozi, dalili hii ilielezwa na Profesa Sanchia Aranda ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kansa Australia.
 
Aina ya tatu ni aina ya kucha yenye alama nyeupe alama ya nusu mwezi mwanzoni mwa kucha, hii inaashiria mtu huyu ana mmeng’enyo mzuri wa chakula, mwilini pamoja na afya ya tezi za mwili.
 
Na aina ya nne ni kucha ambazo hazina alama ya nusu mwezi kucha hizi humaanisha mtu ana udhaifu na afya mbovu, Hii husababisha msongo wa mawazo, kubadilikabadilika kwa ”mood” ya mtu, kuongezeka uzito na kuwa na nywele nyepesi.
 
Na aina ya tano ni kucha yenye rangi ya njano ambapo kucha za rangi hiyo kuashiria kupatwa kwa fangasi.

Chukua tahadhari endapo utakuta una kucha za aina mojawapo hapo juu.
 
Tumosa , nipo bhinamu yangu.
Sijambo kidogo, nilienda kutibu jino lakini nilipofika kwa dentist akajidai fundi magari kugongagonga meno kuangalia kama ni mazima, kagundua meno 8 mabovu, mimi nimemwambia moja tu ndo linauma hayo mengine aachane nayo. Asilete njaa zake kwenye meno yangu.
Hiyo ndo habari yangu nimeona nikwambie maana wewe ni bahati mbaya sana umekuwa ndugu yangu
Pole sana binamu
umemnyoosha mganga muendekeza njaa
 
  • Thanks
Reactions: Obe

Similar Discussions

Back
Top Bottom