Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20181012-202113.jpeg
 
Hii taifa starz shubakengeemitiiiiiiii

...nilikuambia bora tulewe tu weekend hii kuliko kufuatilia hii timu. Timu inazidiwa hata na ile timu uliyokuwa unafundisha hadi pale ulipopata ulaji wa timu ya netball sinza
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Tumosa , nipo bhinamu yangu.
Sijambo kidogo, nilienda kutibu jino lakini nilipofika kwa dentist akajidai fundi magari kugongagonga meno kuangalia kama ni mazima, kagundua meno 8 mabovu, mimi nimemwambia moja tu ndo linauma hayo mengine aachane nayo. Asilete njaa zake kwenye meno yangu.
Hiyo ndo habari yangu nimeona nikwambie maana wewe ni bahati mbaya sana umekuwa ndugu yangu
 
Shunie asante kwa Je Wajua, sina hakika kama uliweka magazeti maana khali yangu ilikuwa na changamoto kidogo ila niko hapa na kama KUNA JIPYA nijulishwe kabla sijaanza harakati zangu za wikend
 
Utafiti uliofanywa nchini Marekani umegundua kuna aina kadhaa za kucha zenye muonekano mbalimbali ambapo kila muonekano unatabiri upungufu au ongezeko la kitu fulani katika mwili wa binadamu.
Aina ya Kwanza ni kucha zenye vidoti vidoti vyeupe, utafiti umebainisha kuwa mtu mwenye kucha zenye muonekano huu ana upungufu wa madini mwilini aina ya Calcium na Zinki, lakini pia vidoti huashiria ugonjwa wa Alegy, ugonjwa huu hutokea pale ambapo mwili kutokupatana na baadhi ya vitu au chakula matokeo yake ukikutana na vitu hivyo mwili humwaga sumu ambayo hudhuru eneo fulani la mwili lililokutana na kitu hiko ambapo wengine huwashwa na kuvimba, wengine hutoka vipele huku wengine hutokwa na vidonga au majipu kila mtu ana namna yake ambayo anaweza kudhurika na vitu ambavyo havipatani na mwili wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom