...ni kweli pananihusu hapa ndugu yangu wewe, kwanini na ninafurahi umenihusisha hapa ni kwa sababu inakadiriwa wavutaji sigara Tz wako kama milioni 4 watoe wale vijogoo vya form two. Hawa huvuta pakiti milioni 81 za sigara kwa mwaka na kuliingizia taifa bilioni 38 na kumbuka hizi ni takwimu za mwaka 2015 na usiwasahau ndugu zetu zaidi ya elfu 70 wa mikoa ya Tabora, Iringa na Moro kutaja michache walioajiriwa kwenye kilimo cha tumbaku na viwanda vya sigara.
Asante kwa kuniita hapa, na kuhusu hasira, watu wasiokunywa pombe, wala kuvuta sigara wana hasira sana, sijui kwanini