Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nilitekwaa lakini nyumbani nilikuwa nakusubiriaa unuse pua nizibabuee au ndo wewe ulikuwa unamleta dada akidaii ni uber make na hawa uber wametuleteaa kasheshe ...yaaan mke analetwa na mchepuko ukiuliza anakwambia uberNipo shemeji mnoko!.. Sikukuona siku kadhaa humu nikajua tayari umedakwa sehemu nijinafasi freely.