Makapuku Forum

Makapuku Forum

9.Hukufanya uridhike na Kusahau matatizo yako kwa muda fulani

10.Kuimba mbele ya watoto wako huchangia kwa kiasi kikubwa katika ubora wa maendeleo yao
SING2.gif
 
SABABU KUMI KWANINI UNATAKIWA UANZE KUPENDA KUIMBA

1.Hurudisha furaha yako na kuondoa uchovu! Pia hukufanya ujihisi unaamani sana.

2.Hupunguza Uwezekano wa kupata Shinikizo la damu.

3.Huongeza hali ya kujiamini. Utafiti unaonesha kuwa, asilimia 64 ya watu wanaopenda kuimba hujiamini pia katika mazingira ya kawaida.





4.Hukusaidia kupunguza uzito hasa ukiimba na kuchezaView attachment 886121
binamu Obe utuanzishie darasa la sauti wengine tukiimba hatina tofauti na chura akikoroma
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom