Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,618
- 3,743
Sasa jina nimekiona hiki kibahasha nikifungua jina lako nitalionaje?Asante jamani pm ni private msg sehemu ya msg si kuna kibahasha unakiona au ili niendelez kukuelekeza kwenye kibahasha ukitaka kumtumia mtu msg unabonyeza hapo au kama umetumiwa msg utaona kwenye kibahasha kuna no unaifungua usome na kumjibu mtu



