Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Unaongea na simu ama?Huwa siku nyingine wanaziachia tu hata kwangu ni hivyo.
Unaongea na simu ama?Huwa siku nyingine wanaziachia tu hata kwangu ni hivyo.
Ndo umeibukia hapo
Naomba nikuelekeze kitu kama hutajali ukimquote mtu umjibu pale pale kwenye quote yake

Huyu jini eeeh
siruhusiwi kumuomba!??Nakojoaaaaaaaaaaaaa
kwakweli viashiria vipo!..Talaka inanihusu
hamna Sudan palepale!..Kwahiyo tupo temeke mikoroshini
NAKAZIA!!Kama bro bado mbahili basi jua kuwa hujamfikisha anapotaka afike. We endelea na safari tu wala usikate tamaa. Ukimfikisha unakotaka kumpeleka mwenyewe utaleta mrejesho hapa. Hakuna mwanaume mkarimu, mpole, anayejua kujali na mwenye ubinadamu kama Msukuma !!!![]()
😎😎😎Uwiiiiiwe shimba mm natania tu woiiiii usije ukajua serious eti sijamfikisha anapotaka khaaaa
Waongeze na rangi nyeupe is an Added Advantage!..Wamesahau sifa moja ya ushamba![]()
Bibi shikamoo!..Hata za kumzindua mtu ni utani pia shimba jf tunajifurahisha tu nipo huku mm nalea yaan naitwa bibi nikiingia jf nakuwa mwingine
Ewaaa,wazee wa kupenda rangi ya dhahabuWaongeze na rangi nyeupe is an Added Advantage!..
Kwanza karibuni msosiNambie tu pressure nitapambana nayo![]()
![]()
![]()