Makapuku Forum

kwanini watu wanachokana wakionana!?..
Ninachohisi mm mtu anavyomfikilia mwenzie tofauti na alivyomuona

Kama hapa baby daddy unajua shunie yupo vile ulivyomuunda ww
kumbe mshamba flani hivi

Au baby daddy najua we mkaka flani hivi kumbe kukujua upo sawa na mdogo wangu wa mwisho
kuna nn hapo zaidi ya kupishana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…