Wick JF-Expert Member Joined Dec 19, 2012 Posts 8,312 Reaction score 12,194 Sep 15, 2018 #334,221 Shunie said: Mh umeanza sasa kusema hizo no zote zinakuhusu Click to expand... zimechanganyika sana tatizo!..
Shunie said: Mh umeanza sasa kusema hizo no zote zinakuhusu Click to expand... zimechanganyika sana tatizo!..
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Sep 15, 2018 #334,222 Hahaha eti leo hutaki kunikorofisha uumbaji upi huo babe ambao haujaishia pale Wick said: Leo sitaki kukukorofisha nakubali yote!.. Ni kweli mama!. Ila nina kamsemo kangu "uumbaji haukuishia pale!" 😉 Click to expand...
Hahaha eti leo hutaki kunikorofisha uumbaji upi huo babe ambao haujaishia pale Wick said: Leo sitaki kukukorofisha nakubali yote!.. Ni kweli mama!. Ila nina kamsemo kangu "uumbaji haukuishia pale!" 😉 Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Sep 15, 2018 #334,223 Nalifahamu hilo ndio mana nakuvumilia sana ujue kuwa na mwanaume mwenye mambo mengi na kumvumilia ni kipaji Wick said: zimechanganyika sana tatizo!.. Click to expand...
Nalifahamu hilo ndio mana nakuvumilia sana ujue kuwa na mwanaume mwenye mambo mengi na kumvumilia ni kipaji Wick said: zimechanganyika sana tatizo!.. Click to expand...
Wick JF-Expert Member Joined Dec 19, 2012 Posts 8,312 Reaction score 12,194 Sep 15, 2018 #334,224 Shunie said: Hahaha eti leo hutaki kunikorofisha uumbaji upi huo babe ambao haujaishia pale Click to expand... kwanini watu wanachokana wakionana!?..
Shunie said: Hahaha eti leo hutaki kunikorofisha uumbaji upi huo babe ambao haujaishia pale Click to expand... kwanini watu wanachokana wakionana!?..
Wick JF-Expert Member Joined Dec 19, 2012 Posts 8,312 Reaction score 12,194 Sep 15, 2018 #334,225 Shunie said: Nalifahamu hilo ndio mana nakuvumilia sana ujue kuwa na mwanaume mwenye mambo mengi na kumvumilia ni kipaji Click to expand... ndio vizuri mwanaume unatakiwa kuwa bizy bana!.
Shunie said: Nalifahamu hilo ndio mana nakuvumilia sana ujue kuwa na mwanaume mwenye mambo mengi na kumvumilia ni kipaji Click to expand... ndio vizuri mwanaume unatakiwa kuwa bizy bana!.
eden kimario JF-Expert Member Joined Jun 13, 2015 Posts 10,356 Reaction score 16,400 Sep 15, 2018 #334,226 Wazee wa migo migo center Malcolm na wick habarini ya asubuhi
eden kimario JF-Expert Member Joined Jun 13, 2015 Posts 10,356 Reaction score 16,400 Sep 15, 2018 #334,227 Shunie tumosa bila shaka mko poa
eden kimario JF-Expert Member Joined Jun 13, 2015 Posts 10,356 Reaction score 16,400 Sep 15, 2018 #334,228 Numbisa, miss IQ habari yenu
eden kimario JF-Expert Member Joined Jun 13, 2015 Posts 10,356 Reaction score 16,400 Sep 15, 2018 #334,229 Wale fans wa team zetu pendwa tukutane kwenye majukwaa yetu ya football
Tumosa JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 16,527 Reaction score 52,623 Sep 15, 2018 #334,230 dingimtoto said: Baadae ngoja nijipikilishe Click to expand... Uchome na mishikaki
Tumosa JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 16,527 Reaction score 52,623 Sep 15, 2018 #334,231 dingimtoto said: Leo pilau maharage na kuku Click to expand...
Tumosa JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 16,527 Reaction score 52,623 Sep 15, 2018 #334,232 eden kimario said: Shunie tumosa bila shaka mko poa Click to expand... Nko poa mimi mkuu za wewe
dingihimself JF-Expert Member Joined Jan 9, 2016 Posts 9,802 Reaction score 20,296 Sep 15, 2018 #334,233 Shunie said: Woyooooo maharage ungeyatoa hapo bana Click to expand... Hahaha!! Pilau la arusha hilo nimelikumbuka
Shunie said: Woyooooo maharage ungeyatoa hapo bana Click to expand... Hahaha!! Pilau la arusha hilo nimelikumbuka
dingihimself JF-Expert Member Joined Jan 9, 2016 Posts 9,802 Reaction score 20,296 Sep 15, 2018 #334,234 Tumosa said: Uchome na mishikaki Click to expand... Unapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosi
Tumosa said: Uchome na mishikaki Click to expand... Unapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosi
Tumosa JF-Expert Member Joined Jul 21, 2016 Posts 16,527 Reaction score 52,623 Sep 15, 2018 #334,235 dingimtoto said: Unapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosi Click to expand... Acha kije tu
dingimtoto said: Unapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosi Click to expand... Acha kije tu
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Sep 15, 2018 #334,236 Wick said: kwanini watu wanachokana wakionana!?.. Click to expand... Ninachohisi mm mtu anavyomfikilia mwenzie tofauti na alivyomuona Kama hapa baby daddy unajua shunie yupo vile ulivyomuunda ww kumbe mshamba flani hivi Au baby daddy najua we mkaka flani hivi kumbe kukujua upo sawa na mdogo wangu wa mwisho kuna nn hapo zaidi ya kupishana
Wick said: kwanini watu wanachokana wakionana!?.. Click to expand... Ninachohisi mm mtu anavyomfikilia mwenzie tofauti na alivyomuona Kama hapa baby daddy unajua shunie yupo vile ulivyomuunda ww kumbe mshamba flani hivi Au baby daddy najua we mkaka flani hivi kumbe kukujua upo sawa na mdogo wangu wa mwisho kuna nn hapo zaidi ya kupishana
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Sep 15, 2018 #334,237 Wick said: ndio vizuri mwanaume unatakiwa kuwa bizy bana!. Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Sep 15, 2018 #334,238 eden kimario said: Wazee wa migo migo center Malcolm na wick habarini ya asubuhi Click to expand... Hao wanatoka migomigo eenh
eden kimario said: Wazee wa migo migo center Malcolm na wick habarini ya asubuhi Click to expand... Hao wanatoka migomigo eenh
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Sep 15, 2018 #334,239 eden kimario said: Shunie tumosa bila shaka mko poa Click to expand... Tupo poa mzee wa chelsea habari yako
eden kimario said: Shunie tumosa bila shaka mko poa Click to expand... Tupo poa mzee wa chelsea habari yako
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Sep 15, 2018 #334,240 dingimtoto said: Unapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosi Click to expand... Mm napenda sana mishkaki na beer mbona sina kitambi
dingimtoto said: Unapenda mishikaki wewe, ujue ni pacha Wa kitambi huo msosi Click to expand... Mm napenda sana mishkaki na beer mbona sina kitambi