Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hapo kila mtu anapapenda
Nimependa utafiti wa kwanza
Duh una moyo mie nawapitia mbali nabaki kuangalia mwendo tu anaonesa nesa

Kuna watu wenye pesa zao wanamtumia kulainisha ngozi wa mwili uson hadi miguun,pesa yako tu unawekewa akutembelee mwili mzima,ukitoka hapo ngozi nyororooo utasahau jambo kubwa jaombo dogo na jambo katikati
 
Niko hapa
eti nani mshindi!?
Screenshot_2018-08-17-16-35-35.png
 
Uwiiiiii jamani jamani mm ni muoga naanzaje kuwekewa mwilini woiiiii nahisi kabla sijawekewa nimeshajikojolea
Hapo kila mtu anapapenda

Duh una moyo mie nawapitia mbali nabaki kuangalia mwendo tu anaonesa nesa

Kuna watu wenye pesa zao wanamtumia kulainisha ngozi wa mwili uson hadi miguun,pesa yako tu unawekewa akutembelee mwili mzima,ukitoka hapo ngozi nyororooo utasahau jambo kubwa jaombo dogo na jambo katikati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom