Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Au una neno ?Nawaona nawaona....
Au una neno ?Nawaona nawaona....
Eti hataki nikupeleke uswahilini. Au umemtuma!?..
Binti gan mnaemzumzia hapo
Kama maharage ya mbeya au iringaHamna mama totoz zipo La Parte!.. Ila Iringa totoz zake laini sijui njaa!!..
Nani huyooo?Aiseehh!!.. Inabid nijifunze kisambaa sasa
Dah hapo palifulia, sijui kama panalipa bado!.Mbuzi katoliki mimi nilikuwa napigia Mama Siyovelwa, sijui kaka siku hizi kama bado papo..
Hamna mama totoz zipo La Parte!.. Ila Iringa totoz zake laini sijui njaa!!..
Alafuuu uzurii wa kojoooo likuteeee una hamuuuu naloooooooo
Huwezi jua
Una kesi na mmNgoja nitamuuliza mtu!!.. Hili halimaanishi 'tupo pamoja' kweli!..
Alafuuu uzurii wa kojoooo likuteeee una hamuuuu naloooooooo
Nilikua mnywaji kwelii ila nilipata ajali nikasema siji kutumia tena!..Nimecheka mpaka machozi hivi hunywi mbona kwenye thread ya mama sabrina ulikuwa unaongea habari za pombe
Hii kutokunywa na kuvuta woiiii ulevi wako ww ni chini tu yaani watu wasiolewa ni papuchi tu mwanzo mwisho
Kaka akoo mnoko tunahamia bunjuu sasa!!.. asije niletea mama akoo bure!.Hapana babe napenda mm ndio unayenikula nipeleke popote tu