MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,456
- 69,351
Nawaona nawaona....Wameshibana haswa
Nawaona nawaona....Wameshibana haswa
Anko nampenda mm ndugu yako hivyohivyo nampenda tu na uhuni wake nampenda tu

Huyu anakupizaa vyenga kulikoniii
Leo hupajui tenaAf hata sipajui kwa wahaya eti!.. au ndio pale Twiga hotel!?..🙂
Kwahiyo inabidi uniangalizie siku mama hayupo nije kazia hapo hapo nyumbani shem!.. Fanya hivyo mzee!.
pumbavuu kweliiii
Nitafanyajeeee ...Kama nakuona ebu uko
Mama mimi silewi na sivutii nikizubaa si ntakua aunt dedee!.. Usinione muhuni tu!..Babe huko miami kwenye totoz eenh
Mbuzi katoliki mimi nilikuwa napigia Mama Siyovelwa, sijui kaka siku hizi kama bado papo..Miami kuna hatari yakee!!.. Vibanda vya CCM na mbuzi katoliki usisahau
Mfyuuuu sijakuomba msaada![]()
Mkuu habari
Nitafanyajeeee ...
Hapana naelewaa (in bwakila voice)Una nn lakini![]()
aaahh!!... siezi enda huko mie!. si bora nikatege Popex!Leo hupajui tena
Upendweeee tuu maupendooo yoteeHahahhahaha ebu niambie unatakaje



Nimecheka mpaka machozi hivi hunywi mbona kwenye thread ya mama sabrina ulikuwa unaongea habari za pombeMama mimi silewi na sivutii nikizubaa si ntakua aunt dedee!.. Usinione muhuni tu!..
Mbona unaitaka sana namba yangu we musee...nami sijasema natoa msaada, ukituma namba nakutumia na namba ya kutuma pesa. Kama hauna pesa tunaweza kufanya maongezi yenye thamani sahihi ya big G


Hahahahaha,Anko nampenda mm ndugu yako hivyohivyo nampenda tu na uhuni wake nampenda tu