Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,013
Salam mkuuu.@MalcomLumumba salam
Stereo pana ugali na nyama hatariiii
Ukitoka hapo unaenda Miami, unaenda Shooters halafu unamalizia Club La Parte
![]()
Mimi mzima kabisa ..umemuonaa shunie?Salam mkuuu.
Mzima weweee
Mwache ajinyonge tukishamzika tunamsahau
Stereo hapo wanachoma nyama ya hatari.Eenh anko yaani nikiona neno nyama akili inavurugika
Mpwaaaaa, upo wewe.
Weeeeee naweza jinyonga na big G
Wataliazimaaa hilo wigi wacheza vigodoroo wotee mwishowe lipoteeKwanini wasivae Brazilian ebu tuwaache
Stereo hapo wanachoma nyama hatari.
Hivi Gereji ya mabenzi unapafahamu ?
Za nyuma tena binamu





Nimecheka kwa sauti
Wataliazimaaa hilo wigi wacheza vigodoroo wotee mwishowe lipotee
Nishakujibu tayariNdo unijib kwani ww si mtu
Laazizi wa Wick nimemuona bwana.Mimi mzima kabisa ..umemuonaa shunie?



babe mbona umeguna sana unapita kwenye vibanda vya wahaya
mmmhh me nipo Mwanagati ndaniii hukuuu😛😛
...nyuma ya saa, akili za Ijumaa usizilete leo tafwadhari
Kwako wewe maana utanimis sana humu ndaniJinyonge umuache aendelee kula mautamu hasara kwa naniii ukijinyonga eti