Makapuku Forum

Makapuku Forum

...asante kwa kuuliza jambo jema, naziona dalili zote za mimi kuwa na siku njema.

Yaani nikipata namba yako tu basi nilichoahidi nitafanya , ukisema unipe na email basi jihesabu umefika Zanzibar!? Au hependi kusafiri
Namba unataka kumpa mahela binamu
 
...basi umenipata, tutaenda ubungo kuangalia mabasi yanayosafi, tunatoka hapo tunaenda eapoti kuangalia ndege zikisafirisha abiria na kisha tutasafiri hadi bandari kuangalia boti za Azam zikienda Znz. Nadhani umefurahia sana hizi safari tumeona mabasi, ndege na boti. Kitu gani hatujaona!? Oh, tutapita buguruni kuangalia wasafiri wa miguu
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom