Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zama za kale paka na panya walikuwa ni zaidi ya ndugu zaidi ya marafiki wa kufa na kushibana walishirikiana kwa kila jambo ...siku moja kwa kuwa walikuwa wamezoeana sana cha paka cha panya na cha panya ni cha paka basii bwana panya akaenda nyumbani kwa paka ...hodiiii akafunguliwa mlango na mke wa paka kumuulizia rafiki yake akaambiwa hayupo na panya akaona huyu ni kama mm bhasi akawekewa maji akaogaaa na kipindi anaoga akaomba mke wa paka aje kumsugua mgongoni ....bhasi kwa kuwa mke naye walizoeana akaendaaa kufanyaa hivo alimsuguaa mpaka panya akakirii mkewe hajawahii kumfanyia hivo

Kama unataka part 2 nambie
Zamadamu.
 
...basi umenipata, tutaenda ubungo kuangalia mabasi yanayosafi, tunatoka hapo tunaenda eapoti kuangalia ndege zikisafirisha abiria na kisha tutasafiri hadi bandari kuangalia boti za Azam zikienda Znz. Nadhani umefurahia sana hizi safari tumeona mabasi, ndege na boti. Kitu gani hatujaona!? Oh, tutapita buguruni kuangalia wasafiri wa miguu
Bado wale wa usiku, usafiri wao vipeteo vya mchele.
 
Kwema wadau ?

Nahitaji msaada wa kufungua bima ya matibabu - JamiiForums

Huyu dada ni miongoni mwa wadau wa huu uzi wa mwanzo mwabzo
Kwa bahati mbaya kapatwa na masahibu ya kiafya kiasi cha kuanzisha uzi kuomba msaada....inasikitisha

Wakuu km kuna mtu anaweza kumsaisia amsaidie jamani matatizo hayana mwenyewe maishani huwa yanahamahama tu

Natanguliza shukrani
Kwema vipi hali nyangema!?

Najaribu kufungua uzi unagoma, tupe mwongozo kidogo mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom