Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ehee binamuu kitu gani hicho sasa ambacho ukikipata utahamisha kanisa na msikitifunguka bina...


...asante kwa kuuliza jambo jema, naziona dalili zote za mimi kuwa na siku njema.

Yaani nikipata namba yako tu basi nilichoahidi nitafanya , ukisema unipe na email basi jihesabu umefika Zanzibar!? Au hependi kusafiri
 
...asante kwa kuuliza jambo jema, naziona dalili zote za mimi kuwa na siku njema.

Yaani nikipata namba yako tu basi nilichoahidi nitafanya , ukisema unipe na email basi jihesabu umefika Zanzibar!? Au hependi kusafiri
ohooo nshaanza kuziona dalili za mtu kuzidiwa kete hapa anko nnavopenda kusafiri wee acha hapo utakuwa umefaulu kabisa
 
...asante kwa kuuliza jambo jema, naziona dalili zote za mimi kuwa na siku njema.

Yaani nikipata namba yako tu basi nilichoahidi nitafanya , ukisema unipe na email basi jihesabu umefika Zanzibar!? Au hependi kusafiri
Zama za kale paka na panya walikuwa ni zaidi ya ndugu zaidi ya marafiki wa kufa na kushibana walishirikiana kwa kila jambo ...siku moja kwa kuwa walikuwa wamezoeana sana cha paka cha panya na cha panya ni cha paka basii bwana panya akaenda nyumbani kwa paka ...hodiiii akafunguliwa mlango na mke wa paka kumuulizia rafiki yake akaambiwa hayupo na panya akaona huyu ni kama mm bhasi akawekewa maji akaogaaa na kipindi anaoga akaomba mke wa paka aje kumsugua mgongoni ....bhasi kwa kuwa mke naye walizoeana akaendaaa kufanyaa hivo alimsuguaa mpaka panya akakirii mkewe hajawahii kumfanyia hivo

Kama unataka part 2 nambie
 
Zama za kale paka na panya walikuwa ni zaidi ya ndugu zaidi ya marafiki wa kufa na kushibana walishirikiana kwa kila jambo ...siku moja kwa kuwa walikuwa wamezoeana sana cha paka cha panya na cha panya ni cha paka basii bwana panya akaenda nyumbani kwa paka ...hodiiii akafunguliwa mlango na mke wa paka kumuulizia rafiki yake akaambiwa hayupo na panya akaona huyu ni kama mm bhasi akawekewa maji akaogaaa na kipindi anaoga akaomba mke wa paka aje kumsugua mgongoni ....bhasi kwa kuwa mke naye walizoeana akaendaaa kufanyaa hivo alimsuguaa mpaka panya akakirii mkewe hajawahii kumfanyia hivo

Kama unataka part 2 nambie
uwiiih
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom