Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Yoyote ya kikorea, kihindi au kifilipinoHe he hivi kuna movie ambayo huijui kweli

Yoyote ya kikorea, kihindi au kifilipinoHe he hivi kuna movie ambayo huijui kweli

Eeenh
Hahhahah ndio hauzipendi wafilipino nawapendaYoyote ya kikorea, kihindi au kifilipino![]()
Duhhh si utanirudisha mbona unakuwa hivyo lakiniNjoo tu ila mwambie ulipo ili akupitie wkt wa kurudi nyumbani ,mrudi wote

ohoo ushawahi ambiwa deep freeder kwenye simu imeungua badili!?..Hako tukapeleke kkoo pale hawatengenezi babe wasije wakaitupa bure
ohoo ushawahi ambiwa deep freeder kwenye simu imeungua badili!?..




Sijawahi mmYaani hapo umekandamiza maneno mwanawane mpaka basiSijambo kabisa! Mimi pia nimefurahi sana, unajua nikiwa huku Mwanza kwetu lazima nikukumbuke (in sukuma voice)![]()

Ndo zinakufanya unanisumbua sasa ili tufike season 8 sio!?.. Hamia Holywood uone kama tutafika Season 4!..Hahhahah ndio hauzipendi wafilipino nawapenda
Kkoo pana heshima yake!... Kama unaingia kambini vile.Sijawahi mm
Nahamaia babe wangu useme nini nikatae shunie mlNdo zinakufanya unanisumbua sasa ili tufike season 8 sio!?.. Hamia Holywood uone kama tutafika Season 4!..
Nilitaka shunie ajue kama mimi ni msukuma kabisa mkuu wangu ABJYaani hapo umekandamiza maneno mwanawane mpaka basi![]()
Kkoo pana heshima yake!... Kama unaingia kambini vile.





Kule hata kununua simu hakufai
Na nimejua bunyebunyeNilitaka shunie ajue kama mimi ni msukuma kabisa mkuu wangu ABJ