Makapuku Forum

Makapuku Forum

446722700_158453.jpg
 
Najua wajua kama hujui wacha nikujuze
Ng'ombe ni mnyama anaefugwa na binadamu tangu Karne ya 9 kabla ya kristo
Asili ya mnyama huyu ni huko mashariki ya kati
hqdefault.jpg
 
Kuku
Huyu ni ndege alieanza kufugwa na binadamu miaka 8,000 iliyopita na kutokana na kufugwa basi amekuwa ni ndege aliyezaana kwa wingi duniani kuliko ndege wengine
Inakadiriwa wapo kuku bilioni 30 duniani kote
Isingekuwa kuchinjwa na binadamu basi uwezo wake wa kuishi ni miaka 5-11
whiterock.gif%26maxx%3D300%26maxy%3D0.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom