Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna mtu anapajua sehemu wanapouza soda kwa bei ya 100,000/= kwa chupa ? nataka niwapeleke watoto wakapoze koo hii week end baada ya kufunga shule maana wanasumbua hapa Binju kwenye hekalu langu kutwa kuichezea helikopta
 
Ubinamu wa hamu kwa weekend pekee ndio upoje huo kaka chige
Ah! Dada Shunie bhana, kwani kuna anayetaka kugombanisha ukaka wetu! Huyo awaye mwana fitina mwambie we ni dadangu tu na ubinamu wa hamu ni wikiendi pekee... mwambie Wick asiwe na presha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom