Ewaaaa!!!...Na Eva yupo![]()
Hahahahahahahaa!Me nishakwambia sitoi ukaringishie wenzio wale!!.. Nambie ukiwa umebanwa serious!🙂
Umeshaanza kuvuna eeehh!??? 🙂🙂
Nimeshakuwa mwenyeji bosi.mzima lakini?
Kuna siku napitaga namuonaga Tumosa tu







Huyo ndio mlinzi wa jukwaa
Nini picha anko mpaka no anayo Niko naye whatsappHahahahahaha,
Mimi mpaka mnada ujao ndiyo ntakuwa na vijisenti.
Hapa namsaidia shunie kuomba pesa, hivi alikutumia picha A4 ???
Mhhhhhhhh, aiseee noti laiki zisi.......Huyo ndio mlinzi wa jukwaa
Me nishakwambia sitoi ukaringishie wenzio wale!!.. Nambie ukiwa umebanwa serious!🙂




Hukosagi visingizio
Jamani yamekuwa hayo tenaNyuki wa cafteria au
Hahaha,Nini picha anko mpaka no anayo Niko naye whatsapp
Nimeuliza niko na balimi za ankoJamani yamekuwa hayo tena
Watu wa kanda ile bana, yani mkishavuna au vua tunapata tabu sanaaa!!Njemba Wick mrembo Shunie analalamika hutaki kutoa pesa...
Sasa zile na mnadani ulipeleka wapi ??
.. Haka katoto kanataka za kuringishia wenzie na mie nishakaambia za mboga nakapa sio za show off!.Nimemzoea huyu kivurugeAfadhari shemela
Hahahahahahahaa!
Mhhhhhhhh, aiseee noti laiki zisi.......
Acha tu!.. Natumiwa wigi na mgongo size hiyo aty!.Hahahahahaha,
Mimi mpaka mnada ujao ndiyo ntakuwa na vijisenti.
Hapa namsaidia shunie kuomba pesa, hivi alikutumia picha A4 ???
Hahaha,
Huo ubavu huna aisee....
We ukifika kibaon piga kelele tu makaveli ntakupungia hata mkono.Muziki: Furahiday, Come Over
Unaenda kwa kwa aunt yangu Shunie ambaye amekuwa na wakati mzuri mchana wa leo na nimefurahia post alizoweka za Je Wajua. Ila sasa mida ya jioni anko wangu Lyon Lee akiwa keshapiga tatu nne gia ya kupasua milima anataka kumkasirisha kwa story za kukojoleana.
Asante ABJ chombo kipya cha anko wangu, Tumosa nimekukumbuka binamu endelea kukazana sana wikend hii, mtu chake kula monde mzee mzima. makaveli10 soka la ufukweni kesho nitapita mitaa yenu na chama langu la jogging vijana wa uwanja wa Shababi.
Come over wadau wote wa ukweli wa jukwaa hili, Transcend , Da'Vinci na wewe unayenisoma sasa