Makapuku naombeni msaada natafuta helikopta nzuri inayoweza kuruka umbali mrefu
Pia isiyo na kelele kama hii ya sasa.......ukinisaidia kuipata unalamba Milioni 1 fasta
...nilijua tu maana kabla ya jamaa kuja ulikuwa na hasira kama mwanachadema aliyehamia ccm. Ila siku mbili hizi umejaa tabasamu kama dalali wa makontena ya mkuu wa mkoa