Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
Hapana siko hivyo, sipendi wapendanao waachane ,ndio maana nataka mje wote kwa Shayohuku moyoni unasema yees bora wameachana mungu anakuona
![]()
Hapana siko hivyo, sipendi wapendanao waachane ,ndio maana nataka mje wote kwa Shayohuku moyoni unasema yees bora wameachana mungu anakuona
![]()
Kipyaa wapiiiii jamaniiii nataka sasa hivi nimfate anko binamu mwendo wa kudumisha moyo kwa mtu hapendagiMimi au wewe?
Hee kwahiyo kwakuwa umepata kipya ndo unaniona kabisa me kibibi si ndiyo![]()
Hehe kulizanaTunapenda kulizana..
Kwani kapiga chapa usoni...mfyuuuuuuu lee mume wa mtu sahizi shauri ako


We namchoraaa niacheee mbunyee yako na mautundu yako yalee niende wapiiiihuku moyoni unasema yees bora wameachana mungu anakuona
![]()
Heeeeee aje wapi![]()
Hahahaa nimegomaNaomba mje wote kwa Shayo hapa
Tobaaaunanijaribu siji
Hapana siko hivyo, sipendi wapendanao waachane ,ndio maana nataka mje wote kwa Shayo



aisee watu kama wewe nadhani utakuwa umebaki peke yako
Hahahaaa!![]()
Anazimagaa kabisaa na kumpepeaa ukute umetokaa chimbo hujapokeaa kishika uchumba mbona anadataKwani kapiga chapa usoni...
Akikuingizia haiingii ama? Hebu kakojoe huko wewe![]()
Ebu ngoja nimwangalie samrath pasua kichwa nitarudi
sumrath wa doliiNdiyoo kipya kwani unadhani sikuwasikia na anko wako mlivokuwa mnasimulianaKipyaa wapiiiii jamaniiii nataka sasa hivi nimfate anko binamu mwendo wa kudumisha moyo kwa mtu hapendagi
T wa Watu.He he T wa dada
Kwani kapiga chapa usoni...
Akikuingizia haiingii ama? Hebu kakojoe huko wewe![]()





jamanii