Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Nashukuru my dadaUmkalie kimya ili aendelee kukuonea eenh acha uboya akikutukana tukana vilevile
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru my dadaUmkalie kimya ili aendelee kukuonea eenh acha uboya akikutukana tukana vilevile
Karibu tena
Kabisa dada wala usjali saivi nimeshakuwa mkubwaaaKaribu tena
Ubarikiwe mno acha kuwa mnyonge mnyonge
Jino kwa jino au sio!Umkalie kimya ili aendelee kukuonea eenh acha uboya akikutukana tukana vilevile
Eenh ndiwooo jino kwa jino na mapanga kwa panga hakuna kuoneanaJino kwa jino au sio!
HahahahahaaaaaaEenh ndiwooo jino kwa jino na mapanga kwa panga hakuna kuoneana

....kwa kuwa umeshakuwa mkubwa basi nielekeze nikuletee zawadi ya Eid!
Hahahahahaaaaaa
Bas sawa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wooooooooiiiiiiiii woooooiiiiiiWoyooooooooooo
Usishangae aunt mimi sikuwa najua, ningejua saa hizi tungekuwa mbali sana. Lakini ndo hivyo sasa. Tunafanyaje sasaKhaaa binamu
Tuko poa






































Shunie ujue sichoki kusema asante kwa Je Wajua, imekaa poa sana na nikwambie kitu, hebu itikia eeeh, sio unanitolea macho kama umeunguza pilau la sikukuu.
Stori ya mapacha wakimya imenihabarisha kitu kipya.
Asante sana.
Kuna jipya ?
Halafu, nje ya mada, eti pugi ndo nini?
Yanafurahisha kwa kweli hasa Yale ya saa sita mchana yanavutia kuyatazama
Mjitahidi kuyatazama mpone magonjwaYanafurahisha kwa kweli hasa Yale ya saa sita mchana yanavutia kuyatazama
E&K