Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Duuuu!!!...vinakuwa na uzoefu wa kutosha, sio unatumia vinavyohitaji kulowekwa kwanza kama makopa (mihogo mikavu).
Anko mbona hata wewe unaban, ulimminya nani?
Duuuu!!!...vinakuwa na uzoefu wa kutosha, sio unatumia vinavyohitaji kulowekwa kwanza kama makopa (mihogo mikavu).
Anko mbona hata wewe unaban, ulimminya nani?
Shangaa na wwMtu mwenye kupenda vipapatiro upadiri atauweza wapi?
Big pointMimi mzima
Makapuku ya zamani haiwezi kurudi tena maisha yamebadilika....
Si unakumbuka nilikuwa nawasisitizia kwamba ukipata muda wa kufurahia pamoja na marafiki utumie vizuri maana huwezi kujua kwamba kesho atakuwepo
Hivyo mimi nilishautumia muda wangu kipindi kile vya kutosha now maisha yamebana hivyo sina muda kama wa zanani
Maisha ni muda
...................
Naona unafukua makaburiBig point
Wap cha pombe wetu
Hahaha, Rafiki nawahi kwa Shayo, muda wa kazi ushaishaWap cha pombe wetu
Msalimie shayooHahaha, Rafiki nawahi kwa Shayo, muda wa kazi ushaisha
Huhu huhu huhuuuuhusna muba mpenzi wangu mwenyewe, nimekumiss hadi nimekonda. Sasa nitanenepa
Uko poa lakini?Huhu huhu huhuuuu
Niko poa saana, cjui ww na mama ashura wakoUko poa lakini?
Niko poa saana, cjui ww na mama ashura wako
Hilo swali LA kimtegomtego mbonaa...alinimwaga, kuna siku tumelala kumwamsha nikamuita jina lako, ndo ilikuwa mara ya mwisho kumjua tena. Asante kwa kuniuliza. Vipi Bitoz hajambo?
Hilo swali LA kimtegomtego mbonaa