ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Mjep
Mjep
Hongera sanaKwa taarifa yako nilikuwa kwenye kozi ya mwisho ya upadirisho
Hatuwezi mkuuHivi nyie miaka yote bado tu ni makapuku? Hamjatoka? Mungu hapendi piganeni muachane na ukapuku!
YawezekanaaHahahahah aisee
Huyu anapendaa vilivyounguzwaaa....yaan vilivyokaa kwenye mafuta haswa aka kutumikaaa
Hivi nyie miaka yote bado tu ni makapuku? Hamjatoka? Mungu hapendi piganeni muachane na ukapuku!
Anko binamuuu mm nipo kamiliii gadooooMuziki: Siku Mbili Wikend Inaanza
FYI, leo ni Jumatano na ndaniya siku mbili wikend inaanza. Nimeona nikuambie maana kuanzia kesho ni mteremko tu, kuifikia Jumatano huwa si jambo dogo, ni siku inayoigawa wiki kwa hiyo lazima uiheshimu. Natumaini uko kwenye siku yako bora kabisa na mimi bila hiyana ninakusalimia na kukutakia wakati mzuri jioni na usiku wa leo. Unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Muziki sasa, nilishangaa leo baada ya kujaribu kumuandikia ano wangu Lyon Lee na kuambiwa sina sifa stahili kumuandikia, kuangalia naona kapigwa ban, nikajua tu tayari anko wangu keshapata za moto mbili tatu nne na kuendelea halafu mtu mmoja akaingia kwenye anga zake. Kilichofuata ndo ban na banishment za maana. Na aunt yangu Shunie pia kachezea sharubu kapelekwa mapumziko. Burudika na muziki nikikupongeza kwa kuifikia jtano
Heshima yako baba mchungaji
Binamu aunt yko anakusalimia nilifikisha salamu anakushukuruMuziki: Siku Mbili Wikend Inaanza
FYI, leo ni Jumatano na ndaniya siku mbili wikend inaanza. Nimeona nikuambie maana kuanzia kesho ni mteremko tu, kuifikia Jumatano huwa si jambo dogo, ni siku inayoigawa wiki kwa hiyo lazima uiheshimu. Natumaini uko kwenye siku yako bora kabisa na mimi bila hiyana ninakusalimia na kukutakia wakati mzuri jioni na usiku wa leo. Unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Muziki sasa, nilishangaa leo baada ya kujaribu kumuandikia ano wangu Lyon Lee na kuambiwa sina sifa stahili kumuandikia, kuangalia naona kapigwa ban, nikajua tu tayari anko wangu keshapata za moto mbili tatu nne na kuendelea halafu mtu mmoja akaingia kwenye anga zake. Kilichofuata ndo ban na banishment za maana. Na aunt yangu Shunie pia kachezea sharubu kapelekwa mapumziko. Burudika na muziki nikikupongeza kwa kuifikia jtano
Baba paroko heshima ykoAnko binamuuu mm nipo kamiliii gadoooo
Nimeipokeaaa kabisa...Baba paroko heshima yko
Asante barikiwa sanaNimeipokeaaa kabisa...
Nipo na masista wangu hapaAsante barikiwa sana
Kila la kheriNipo na masista wangu hapa
Nimekuota kapuku mwenzanguMjep