Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji524]AYUBU 11:

19.Tena utalala hakuna atakayekutia hofu,,Naam wengi watautafuta uso wako

MUNGU AWABARIKI FAMILIA ,DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WAWAZINGIRE[emoji257][emoji257][emoji257] NAWAPENDA [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe si muhuni mfyuuuuu
[emoji3] [emoji3] acha kunisingizia , wewe ndio umeleta hiyo je wajua tena kama haitoshi ukaweka picha kbs [emoji1] [emoji1] kati ya mimi na wewe muhuni nani hapo

Na binadamu tungekuwa na uwezo kama wa kitimoto wanawake mngenenepaaaje!
maprotini hadi mngebaki mmelewa aki vile[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
[emoji524]AYUBU 11:

19.Tena utalala hakuna atakayekutia hofu,,Naam wengi watautafuta uso wako

MUNGU AWABARIKI FAMILIA ,DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WAWAZINGIRE[emoji257][emoji257][emoji257] NAWAPENDA [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Kama tunavokupenda wewe aki
 
[emoji3] [emoji3] acha kunisingizia , wewe ndio umeleta hiyo je wajua tena kama haitoshi ukaweka picha kbs [emoji1] [emoji1] kati ya mimi na wewe muhuni nani hapo

Na binadamu tungekuwa na uwezo kama wa kitimoto wanawake mngenenepaaaje!
maprotini hadi mngebaki mmelewa aki vile[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mm kazi yangu ni kuwajuza tu msiyoyajua yaani nawaza tu hapo mngekuwa na uwezo huo
 
Back
Top Bottom