Makapuku Forum

Makapuku Forum

AYUBU 11:

19.Tena utalala hakuna atakayekutia hofu,,Naam wengi watautafuta uso wako

MUNGU AWABARIKI FAMILIA ,DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE USIKU MWEMA MALAIKA WALINZI WAWAZINGIRE NAWAPENDA
 
acha kunisingizia , wewe ndio umeleta hiyo je wajua tena kama haitoshi ukaweka picha kbs kati ya mimi na wewe muhuni nani hapo

Na binadamu tungekuwa na uwezo kama wa kitimoto wanawake mngenenepaaaje!
maprotini hadi mngebaki mmelewa aki vile
Mm kazi yangu ni kuwajuza tu msiyoyajua yaani nawaza tu hapo mngekuwa na uwezo huo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom