Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Anasubiri huruma za modsMaskini mwee hakunaga dhamana
Anasubiri huruma za modsMaskini mwee hakunaga dhamana
AiseeeAnasubiri huruma za mods
Mimi mzima...namjua mdau hana shida, ha hahahha, nilijua anatania ndo maana majibu yamekaa kiutani utani.
Mzima lakini? Michakato yako inaendaje, hoping ikikaa sawa utarejea jukwaani maana wewe ni mdau mkubwa
Mkuu..Mimi mzima
Makapuku ya zamani haiwezi kurudi tena maisha yamebadilika....
Si unakumbuka nilikuwa nawasisitizia kwamba ukipata muda wa kufurahia pamoja na marafiki utumie vizuri maana huwezi kujua kwamba kesho atakuwepo
Hivyo mimi nilishautumia muda wangu kipindi kile vya kutosha now maisha yamebana hivyo sina muda kama wa zanani
Maisha ni muda
...................
Mambo shemKila la kheri
Poa vpMambo shem
Poa vp
Uko mzima?nafurahi kukuona tena
..Mambo shem
Kumbe ndo chimbo lako hili eeeh
Nafurahi Kuwa Nilikuwa Mmoja Wa Makapuku Wa Wakati Ule Usioweza Kujirudia!Mimi mzima
Makapuku ya zamani haiwezi kurudi tena maisha yamebadilika....
Si unakumbuka nilikuwa nawasisitizia kwamba ukipata muda wa kufurahia pamoja na marafiki utumie vizuri maana huwezi kujua kwamba kesho atakuwepo
Hivyo mimi nilishautumia muda wangu kipindi kile vya kutosha now maisha yamebana hivyo sina muda kama wa zanani
Maisha ni muda
...................
Nipo bhana....nimetekwa na sakayo.Poa vp
Uko mzima?nafurahi kukuona tena
Hahaha huku nazuga tu ,kupoteza mudaKumbe ndo chimbo lako hili eeeh
Kulikoni cha pombe
HongeraNipo bhana....nimetekwa na sakayo.
Nchi yenu pato la taifa mmategemea gambe,kulipa baadhi ya hudumaKulikoni cha pombe
Unaongea na simu auNchi yenu pato la taifa mmategemea gambe,kulipa baadhi ya huduma