ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Ahaa sawa sawa wa mkoani mwenzangu,wa mjini kanambia nikuulize eti ni kilugha ganiNdio mkuu,, jina la kilugha,, sema linaandikwa nigendako ndio kwa usahihi zaidi
Kuanzia leio kila nikuonapo nitakuwa nakupiga mikwara tu
afu wewe ujuaji wako........oooh!Ebu weka picha kwanza ya korosho niamini kama unazo
Ndio tutaamini vp sasa kama ni natural haha








bichwa lako wee..
Asa unataka tukubaliane na wewe ili tuonekane mazombie
![]()
Hahahahah mnaongea sana wa mjn
afu wewe ujuaji wako........oooh!
mbona hunijibu? uko wapi nikuletee? Hutaki kusema! Take care.... utakosa bara.... utakosa Pwani!Weka basi
mbona hunijibu? uko wapi nikuletee? Hutaki kusema! Take care.... utakosa bara.... utakosa Pwani!
Mimi ni mchimba chumvi tu mkuuKhaaaaa we baba usinifanyie hivyo wewe ni mjeda eenh au mtu wa mara
Mimi ni mchimba chumvi tu mkuu
Nipo chattle city hahahOooh sasa we upo mkoa gani ninge
Hahahah nijianike jf itasimama ebu ninge niache




mfyuuuu ila za wenzako ndo unapenda zianikwe eeKabsa,, mkoani vitu fake fake hatuvitaki hahahbichwa lako wee..
Asa unataka tukubaliane na wewe ili tuonekane mazombie
Mnaanika nini tenamfyuuuu ila za wenzako ndo unapenda zianikwe ee
Hicho kinyarwanda jirani yanguAhaa sawa sawa wa mkoani mwenzangu,wa mjini kanambia nikuulize eti ni kilugha gani
Eeeh hyo hyo chato jiraniuna maanisha chato au sijaelewa
Nipo chattle city hahah