Makapuku Forum

Makapuku Forum

5.Kwa mzee Trump ...

Marekani imepiga marufuku uagizaji wa nguo toka nchini Rwanda baada ya nchi ya Rwanda kupiga marufuku uingizaji wa mitumba toka Marekani.
Rais wa Marekani Donal Trump ametoa agizo la kupiga marufuku uondoaji wa ushuru kwa nguo zote zinazotoka Rwanda kwa miezi 6.
 
6. Wanariadha kushangaa mataa Abuja ??

Zaidi ya wanariadha 300 wakiwemo wa Tanzania na Kenya na kutoka mataifa mengine ya Afrika wamekwama katika uwanja wa ndege wa Murtala Muhammad 2 mjini Lagos Nigeria.

Wanariadha hao walitarajiwa kushiriki kwenye mbio za riadha za Afrika zitakazoanza leo



_102780773_nigeria.jpg
 
7.kwa mzee Mugabe kuna nini ??

Tume ya uchaguzi nchini Zimbabwe (ZEC) inaendelea kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu nchini humo. Katika matokeo yaliyotolewa mpka sasa kwa ngazi ya Ubunge toka majimbo 7, chama tawala ZANU-PF kimetwaa viti 73 huku MDC kikipata viti 28 na NPF kiti 1.

zecha%20.jpg
 
Wanaohitaji jinsi ya kuwekeza SKYINVEST karibuni inbox nitaelekeza wale waliyojiunga kuoitia link yangu tu..
Piga pesa ukiwa umekaa. Fanya kazi zako zingine huku pesa ikiongezeka kila saa.
Mfano: una akiba yako kwenye M-pesa,tigopesa imekaa tu,kwanini usiwekeze ikuzalishie pesa?
JIONGEZE SASA, kupitia hapa SkyInvest | Register
Kwa msaada zaidi njoo telegram @TomaaMireni au smatskills WhatsApp 0625547181
 
8.Wazee wa masifa aka wanamsimbazi maandalizi vipi vipi kule ??

Wekundu wa msimbazi wazee wa habari ya mjini homa ya town leo wametoshana nguvu na club waliyokuwa wanacheza nayo huku uturuki kwa bao moko kimoko na bahati nzuri wapinzani wao walifurahia kunyesha kwa mvua kubwa
IMG_20180801_205927.jpg
 
2.mwendelezo wa maagizo kutoka kwa mh...

Siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola kumtaka Mbunge wa Kigoma Mjini zittokabwe kujisalimisha polisi akidaiwa kufanya mkutano nje ya jimbo lake na kutoa matamshi ya uchochezi, jeshi hilo limesema tayari limefungua jalada la uchunguzi kuhusiana na tuhuma hizo....
Niaje mkuu
 
Mbona wamechukua muda mrefu sana kutujulisha, au hayo mafunzo yalikuwa ni ya siri sana na wairi hakupaswa kujua? Hii inasema nini (significance) je waziri kwa IGP ni mchumba tu? Maana yake ni kuwa waziri wa mambo ya ndani hana nguvu ya kumuamrisha IGP na hili lazima wengi mfahamu, IGP au CDF ni mawaziri juu ya mawaziri wanaoteuliwa.

Anko, siasa ngumu hii, Lugora anajua kabisa hana uwezo wa kumuamuru IGP
Mtaasisi vip
 
Muziki: Anko Karudi, Aunt Kawa DC

...ni Jumatano leo, kama ulikuwa hujui, kama hujamuona basi angalia hapo juu, huyu ndo anko wangu mwenyewe mzee nyumba nyingi na sifa zake nyingine nzuri zinajumuisha kulipa kodi kwa uhalali na hapo sasa ndo nakusalimia kapuku wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Muziki sasa, hata sijui niandike nini kuhusu muziki, itoshe tu kukuacha uburudike na muziki huu

Alikuwa wapi, Asante kwa music bora kabisa
 
Jamani mbwa kapatikana
KIPI KIMEKUPITA LEO ??

1.Hobby kudesa class ???

Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa hakuna mbwa yoyote wa jeshi hilo aliyepotea kama ambavyo imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari, bali mbwa anayejulikana kwa jina la Hobby aliyedaiwa kupotea yupo kikosini akiendelea na majukumu yake na kipindi anatafutwa alikua class akiongeza maarifaView attachment 824573
 
10.Vipi umejiuliza kama mimi

Nikiwa nawapitia wekundu na tambo zao kwenye masocial media huku walamba cone wana wa backrhesa wakisutua kule Uganda sijawasahau singida na maono yao ya mbeleni huku watani wa jadi Yanga wakipambana na hali yao nikaiwaza nafasi ya kwanza na uwakilishi wa nafasi moja wakati huku nyuma kuna timu 19 ....kama kuna mwenye namba za rais wa tiefuefuuu anijuzeee nimuulizeee...lasivyo makocha watapishana Airpot na bahati mbaya ubao wa matangazo airpot hausomii chochote mpaka sasa...
 
Wouzer wouzer
Muziki: Anko Karudi, Aunt Kawa DC

...ni Jumatano leo, kama ulikuwa hujui, kama hujamuona basi angalia hapo juu, huyu ndo anko wangu mwenyewe mzee nyumba nyingi na sifa zake nyingine nzuri zinajumuisha kulipa kodi kwa uhalali na hapo sasa ndo nakusalimia kapuku wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Muziki sasa, hata sijui niandike nini kuhusu muziki, itoshe tu kukuacha uburudike na muziki huu

 
Kwahiyo hawatashiriki tena
6. Wanariadha kushangaa mataa Abuja ??

Zaidi ya wanariadha 300 wakiwemo wa Tanzania na Kenya na kutoka mataifa mengine ya Afrika wamekwama katika uwanja wa ndege wa Murtala Muhammad 2 mjini Lagos Nigeria.

Wanariadha hao walitarajiwa kushiriki kwenye mbio za riadha za Afrika zitakazoanza leo



View attachment 824587
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom