Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
5.Kwa mzee Trump ...
Marekani imepiga marufuku uagizaji wa nguo toka nchini Rwanda baada ya nchi ya Rwanda kupiga marufuku uingizaji wa mitumba toka Marekani.
Rais wa Marekani Donal Trump ametoa agizo la kupiga marufuku uondoaji wa ushuru kwa nguo zote zinazotoka Rwanda kwa miezi 6.
Marekani imepiga marufuku uagizaji wa nguo toka nchini Rwanda baada ya nchi ya Rwanda kupiga marufuku uingizaji wa mitumba toka Marekani.
Rais wa Marekani Donal Trump ametoa agizo la kupiga marufuku uondoaji wa ushuru kwa nguo zote zinazotoka Rwanda kwa miezi 6.
bora kabisa