Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Mimi si unajua mgeni huku,na ww ndio umenileta humu ,nimeanza kukuzoea sasaHaujanizoea mm ndio zangu hizo walionizoea wanajua
Mimi si unajua mgeni huku,na ww ndio umenileta humu ,nimeanza kukuzoea sasaHaujanizoea mm ndio zangu hizo walionizoea wanajua
Mimi si unajua mgeni huku,na ww ndio umenileta humu ,nimeanza kukuzoea sasa
Nikirudi una Heineken zako kadhaaOooh sasa inabidi uzoee hizo ndio mambo zangu
Nikirudi una Heineken zako kadhaa
Nawe piaAsante sana ubarikiwe sana
Una fujooo siku hizi ndo maana unakula banAsante sana ubarikiwe sana
Una fujooo siku hizi ndo maana unakula ban
Anko binamu ashavuta cha chugaa
Hobby ana hobbies na masomo,msongo sanaKIPI KIMEKUPITA LEO ??
1.Hobby kudesa class ???
Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa hakuna mbwa yoyote wa jeshi hilo aliyepotea kama ambavyo imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari, bali mbwa anayejulikana kwa jina la Hobby aliyedaiwa kupotea yupo kikosini akiendelea na majukumu yake na kipindi anatafutwa alikua class akiongeza maarifaView attachment 824573
Mbona wamechukua muda mrefu sana kutujulisha, au hayo mafunzo yalikuwa ni ya siri sana na wairi hakupaswa kujua? Hii inasema nini (significance) je waziri kwa IGP ni mchumba tu? Maana yake ni kuwa waziri wa mambo ya ndani hana nguvu ya kumuamrisha IGP na hili lazima wengi mfahamu, IGP au CDF ni mawaziri juu ya mawaziri wanaoteuliwa.KIPI KIMEKUPITA LEO ??
1.Hobby kudesa class ???
Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa hakuna mbwa yoyote wa jeshi hilo aliyepotea kama ambavyo imekuwa ikiripotiwa na vyombo vya habari, bali mbwa anayejulikana kwa jina la Hobby aliyedaiwa kupotea yupo kikosini akiendelea na majukumu yake na kipindi anatafutwa alikua class akiongeza maarifaView attachment 824573
2.mwendelezo wa maagizo kutoka kwa mh...
Siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola kumtaka Mbunge wa Kigoma Mjini zittokabwe kujisalimisha polisi akidaiwa kufanya mkutano nje ya jimbo lake na kutoa matamshi ya uchochezi, jeshi hilo limesema tayari limefungua jalada la uchunguzi kuhusiana na tuhuma hizo....