Makapuku Forum

Makapuku Forum

...marhaba binamu, naamini wikend ilikuwa nzuri upande wangu ilikuwa poa sana, huwezi amini namna nilivyoitumia kikamilifu. Nilienda kuogelea.

Unajua kuogelea wewe? Au ndo unatoka mitaa ya Machame au Uyole
Uliogelea wap binamu kwenye bwawa?
Mjomba wako alikuulizia nilimwambia weekend huwa unatekwa
 
Binamu jamani vitumbua gani hivyo tulikuwa mmu uko ndio ban ilipotupatia hakuna kosa la ajabu mods waliamua tu

...okay mmu huko kunatisha hukawii kumtukania mtu kiungo chake pendwa akakuripoti. Safi, me kuna mod ilibidi aniweke kwenye uangalizi maalum jukwaa la siasa, miaka ya zamani hiyo sio sasa
 
Binamu unataka kumpeleka beach
...marhaba binamu, naamini wikend ilikuwa nzuri upande wangu ilikuwa poa sana, huwezi amini namna nilivyoitumia kikamilifu. Nilienda kuogelea.

Unajua kuogelea wewe? Au ndo unatoka mitaa ya Machame au Uyole
 
Uliogelea wap binamu kwenye bwawa?
Mjomba wako alikuulizia nilimwambia weekend huwa unatekwa


...me kuogelea bwawani ndo napenda maana bwawa ukienda mbali kidogo tu unakutana na tope, unajisugua miguu hadi kagere keupe mwalimu anakopenda unakapata unarudi bwawani tena kwenye maji safi unajitakatisha.

anko wangu katekwa siku nyingi, sijui ABJ kampa nini wallah
 
...me kuogelea bwawani ndo napenda maana bwawa ukienda mbali kidogo tu unakutana na tope, unajisugua miguu hadi kagere keupe mwalimu anakopenda unakapata unarudi bwawani tena kwenye maji safi unajitakatisha.

anko wangu katekwa siku nyingi, sijui ABJ kampa nini wallah
nilisika wanakula gimbi sijui hogo
 
Mambo ni hivi binamu


sasa nimeelewa kwamba mambo ni fire yaani moto, nakuona umemfumania shululu ukaamua kuuwasha moto

women-burning-things.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom