Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
SikwendiKwendraaaaa
SikwendiKwendraaaaa
Shikamooo binamu
Hauzimiiiii moto moto binamu.![]()
Uliogelea wap binamu kwenye bwawa?...marhaba binamu, naamini wikend ilikuwa nzuri upande wangu ilikuwa poa sana, huwezi amini namna nilivyoitumia kikamilifu. Nilienda kuogelea.
Unajua kuogelea wewe? Au ndo unatoka mitaa ya Machame au Uyole
Mambo ni hivi..okay, sasa kama hauzimi, unaunguza kweli au ni wa mapambo
binamuBinamu jamani vitumbua gani hivyo tulikuwa mmu uko ndio ban ilipotupatia hakuna kosa la ajabu mods waliamua tu
Sikwendi
...marhaba binamu, naamini wikend ilikuwa nzuri upande wangu ilikuwa poa sana, huwezi amini namna nilivyoitumia kikamilifu. Nilienda kuogelea.
Unajua kuogelea wewe? Au ndo unatoka mitaa ya Machame au Uyole
Uliogelea wap binamu kwenye bwawa?![]()
![]()
Mjomba wako alikuulizia nilimwambia weekend huwa unatekwa
...okay mmu huko kunatisha hukawii kumtukania mtu kiungo chake pendwa akakuripoti. Safi, me kuna mod ilibidi aniweke kwenye uangalizi maalum jukwaa la siasa, miaka ya zamani hiyo sio sasa
Ebu ukoNdiwoooo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndo wap![]()
![]()
![]()
...me kuogelea bwawani ndo napenda maana bwawa ukienda mbali kidogo tu unakutana na tope, unajisugua miguu hadi kagere keupe mwalimu anakopenda unakapata unarudi bwawani tena kwenye maji safi unajitakatisha.
anko wangu katekwa siku nyingi, sijui ABJ kampa nini wallah
nilisika wanakula gimbi sijui hogo

ewaaaaa mambo ni fiiiireBinamu unataka kumpeleka beach