Makapuku Forum

Makapuku Forum

IMG_0073.JPG
 
Mshikaji kawatania tu
Huyo ni mtu poa sana hana kwere na mtu
Don't take it serious
............



...namjua mdau hana shida, ha hahahha, nilijua anatania ndo maana majibu yamekaa kiutani utani.

Mzima lakini? Michakato yako inaendaje, hoping ikikaa sawa utarejea jukwaani maana wewe ni mdau mkubwa
 
Obe Leo Nipo Bize Huko Jamii Intelligence
Yeah, nimepitia huko, nimesoma na nimeongeza maarifa na hata ule uzi wa Vincent ulioutupia then ukausubirisha niliusoma, niliongeza maarifa pia maana huyu jamaa alikuwa ni mchoraji mzuri. Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom