Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mimi mzima

Makapuku ya zamani haiwezi kurudi tena maisha yamebadilika....
Si unakumbuka nilikuwa nawasisitizia kwamba ukipata muda wa kufurahia pamoja na marafiki utumie vizuri maana huwezi kujua kwamba kesho atakuwepo

Hivyo mimi nilishautumia muda wangu kipindi kile vya kutosha now maisha yamebana hivyo sina muda kama wa zanani
Maisha ni muda
...................
. Bitoz bwana !!!
 
IMG-20180720-WA0023.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom